kuna sababu mbalimbali zilizofanya nibaki katika hii biashara
1:uhuru wa muda
2:uhuru wa kipato
3:kipato endelevu bila kikomo
4:ushilikiano baina ya mimi na viongozi wangu
click next
mmh nahani kila mtu anajua kila kitu anachokifanya lazima kuna changamoto anaipitia nikiwa kwenye business hii nilipitia changamoto nyingi japo nilikuwa nahitaji mafanikio basi nilijikaza lakini changamoto kubwa ilikuwa ni kukatishwa tamaa na watu/ rafik/ndug n.k japo mungu alinisaidia sana nilishinda vishawishi click next
Maoni
Chapisha Maoni