CHANGAMOTO
mmh nahani kila mtu anajua kila kitu anachokifanya lazima kuna changamoto anaipitia
nikiwa kwenye business hii nilipitia changamoto nyingi japo nilikuwa nahitaji mafanikio basi nilijikaza lakini changamoto kubwa ilikuwa ni kukatishwa tamaa na watu/ rafik/ndug n.k japo mungu alinisaidia sana nilishinda vishawishi
click next
Maoni
Chapisha Maoni